Jumapili, 27 Aprili 2014

Thursday, April 24, 2014

MTUNISY WA BONGO MOVIES ASABABISHA VUZUGU

Mtunisy Director/ Actor At Zest Films Productions Tanzania

FILAMU ya msanii Mtunisy yasababisha vurugu kubwa sokoni wadau wanasema filamu inyosubiriwa kwa hamu sokoni ni Tom Boy yani imeshika chati mpaka wamachinga wanasema kutakuwa na vurugu siku ikitoka hiyo filamu, Ni kwa mujibu wa mmachinga muuza CD Kariakoo, Ama kweli itatisha!

HIZI HAPA NDIO PICHA ZA UWANJA MPYA WA LIVERPOOL NA NAMBA YA WATAKAOWEZA KUINGIA UWANJANI


Anfield imekuwa ikisimamia kwenye watu 45,362, tofauti na viwanja vikubwa kama Old Trafford na Emirates Stadium, ila baada ya marekebisho uwanja mpya utaweza kupokea watu 58,800 kitu kitakacho fanya uwe na namba 3 kwa ukubwa kwenye viwanja vya

HATIMAYE MAPATO NA UTAJIRI WA MWANADADA IRENE UWOYA WAZUA KIZAAZAA.


Inadaiwa kuwa hali ya hewa imechafuka kwa msanii nyota wa filamu za Bongo Irene Uwoya ambapo ameshindwa kutaja vyanzo vya utajiri wake wa Ghafla.

Hivi karibuni Uwoya alikaririwa akisema kuwa hawezi kutaja kazi nyingine anayofanya na utajiri aliokuwa nao kwani wapo baadhi ya

TUKIO: AFANDE GRUPU LA RAIA BAADA YA KUMTWANGA RISASI DEREVA, PICHA ZA TUKIO HIZI HAPA LAIVU BILA KING'AMUZI


This incident happened this afternoon along Patigi Road in Kwara State. According to eye-witnesses, the policeman tied above and a few of his colleagues stopped a driver delivering telecoms equipment to a

NEWS: MWENYEKITI WA CHADEMA AFUNGWA MIAKA 7 KWA KUJERUHI KILABUNI, TAZAMA PICHA ZA TUKIO HAPA LAIVU BILA KING'AMUZI



Mwenyekiti wa CHADEMA Ezekiel King akiteta jambo na jamaa zake mara baada ya kuhukumiwa kwenda jela miaka 7 kwa kosa la

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni