Jumatatu, 7 Aprili 2014

HUU NDIO MUONEKANO MPYA WA DOKII BAADA YA KUNYOA NYWELE NA KUCHORA TATUU YENYE JINA LA MTOTO WA MH RAIS! [MAPICHA]

PICHA hizi ni kwa hisani ya masainyotambofu.com

HAPA mwanadada Dokii akiwa katika harakati za kampeni huko kijijini Miono Chalinze.. Hapo kichwani aliamua kuandika Jina la Mh/ Ridhiwani kwa kifupi RIZ, Msanii huyo mkongwe aliyejizolea mashabiki katika Tamthilia ilitotamba hapa nchini MAMBO HAYO iliyokuwa ikirushwa katika runinga ya ITV miaka ya nyuma. Siku ya

Sunday, April 6, 2014

MTOTO WA KING MAJUTO USO KWA USO NA NA MTOTO WA MH/ RAIS JANA CHALINZE! [MAPICHA]

PICHA hizi ni kwa hisani ya masainyotambofu.com
Chalinze hapo jana baada ya

KILA SIKU MATUKIO LAKINI HII SASA NI SHIDAAA..!!!WEMA, KAJALA NGUMI NJE NJE!!!!


Kajala akitoa maelezo kwa uchungu unaodhihirisha uhasama kati yake na Wema.Stori: Imelda Mtema na Musa Mateja

NI shida! Zile shilingi milioni 13 alizotoa Wema Isaac Sepetu kumlipia msanii maarufu wa

MAISHA MAGUMU LAKINI UNGA NOMA AFADHALI UGALI! CHEKI WADADA WENGINE HAWA WALIVYONASWA UWANJA WA NDEGE NA MZIGO!


Agness Jerad Musaa.Stori: Makongoro Oging’

Kibano! Wanawake wawili, wakazi wa jijini Dar wamekumbwa na bonge la msala baada ya kutiwa mbaroni na kikosi kazi (task force) cha kudhibiti na kupambana na madawa ya

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni